Habari za Punde

Breaking News ..Moto mkubwa unaendelea kuwaka Maeneo ya Kiponda




Moto mkubwa unaendelea kuwaka mitaa ya Kiponda mjini Unguja jirani na msikiti wa Shia Ithnasheria. Jitihada za kuuzima moto huu zinaendelea ila jitihada za ziada zinahitajika za msaada wa magari ya maji baada ya Magari ya zimamoto kuishiwa na maji na kwenda kuyafuata wakati wakijaribu kuuzima moto huo. 

1 comment:

  1. Hii habari mbona hatujapata update zozote? Au ndo umeme haujarudi bado?

    ReplyDelete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.