Habari za Punde

Ligi Kuu ya Zanzibar JKU na Kijichi Mchezo Uliofanyika Uwanja wa Amaan Timu ya JKU Imeshinda 2---1

Mchezaji wa Timu ya Kijichi na JKU wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika uwanja wa Amaan Zanzibar Timu ya JKU imeshinda 2--1
Mshambuliaji wea timu ya Kijichi akimpita beki wa timu ya JKU wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika uwanja wa Amaan Zanzibar.
Mshambuliaji wa Timu ya Kijichi akimpita beki wa timu ya JKU.
Mshambuliaji wa timu ya Kijichi akiwatoka mabeki wa timu ya JKU. 
Mchezaji wa timu ya Kijichi akiwa chini huku beki wa timu ya JKU akiokoa mpira huo.
Mshambuliaji wa timu ya Kijichi akipiga mpira golini kwa timu ya JKU huku kipa wa JKU akijiandaa kuokoa mpira huo. 

Kipa wa Timu ya JKU akiondoa mpira golini kwake huku mshambuliaji wa timu ya Kijichi akijiandaa kuchukua mpira huo.





No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.