Habari za Punde

Zoezi la Uandikishaji wa Washiriki wa Mbio za Kilimanjaro Marathoni Laanza katika Hoteli ya Keys Moshi.

Muonekano wa vipita shoto katika mji wa Moshi unavyoonekana ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Mbio za Kimataifa za Kilimanjaro Marathoni zitakazofanyika Jumapili hii.
Baadhi ya wajasliamali wakiwa wamewek bidhaa zao nje ya Hotel ya Keys kunako fanyika zoezi la uandikishaji wa washiriki wa mbio hizo.
Baadhi ya washiriki wa mbio za kimataifa za Kilimanjaro Marathoni wakijiandikisha katika moja ya banda yaliyopo Hotel ya Keys.
Raia wa kigeni pia wamejitokeza kujiandikisha kushiriki mbio hizo.

Baadhi ya washiriki wa Mbio za Km 42 zinazodhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager wakijaza fomu wakiti wakijiandikisha katika Hotel ya Keys.
Wakimbiaji wa Mbio za KM 21 zinazodhaminiwa na Kampuni ya Mawasiliano ya simu za mkononi ya Tigo wakijiandikisha katika Hotel ya Keys mjini Moshi.
Zoezi la uandikishaji likeindelea katika Hotel ya Keys.
Washiriki wa Mbio za walemavu zinazodhaminiwa na kampuni ya GAPCO wakijiandikisha katika banda lililopo katika Hotel ya Keys mjini Moshi.
Hotel ya Keys ambako zoezi la uandikishaji wa washiriki wa mbio za Kimataifa za Kiliamanjaro Marathoni unafanyika.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.