Habari za Punde

Uongozi wa ZECO Wazungumza na Masheha Kisiwani Pemba Kulinda Miundombinu ya Umeme.

Afisa Uhusiano wa Shirika la Umeme Zanzibar (ZECO)Ndg.Salum Abdalla, akizungumza na masheha wa Wilaya ya Mkoani, juu ya kuwashajihisha wananchi kuilinda miundominu ya Umeme iliyomo katika shehia zao
Afisa Uhusiano wa Shirika la Umeme Zanzibar (ZECO)Ndg.Salum Abdalla, akizungumza na masheha wa Wilaya ya Mkoani, juu ya kuwashajihisha wananchi kuilinda miundominu ya Umeme iliyomo katika shehia zao
Mmoja wa Masheha wa Shehia ya Mkoani akiuliza swali katika kikao chao na Viongozi wa Shirika la Umeme Zanzibar ZECO, juu ya kutakiwa kuilinda miundombinu ya Umeme katika shehia zao.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.