Habari za Punde

Muasisi wa ASP na Mwana Mapinduzi,Mhe. Mzee Hamid Ameir Amefariki Dunia Jana.


Mwana Mapinduzi na Mwanasiasa Mkongwe na Mwazilishi wa Chama ASP na CCM Zanzibar Mhe. Hamid Ameir amefariki dunia jana nyumbani kwake Mtoni Zanzibar.
Na taratibu za mazishi zinafanyika leo Kijiji kwao Donge Mkoa wa Kaskazini Unguja.

Maziko hayo yanafanyika asubuhi hii katika Kijiji cha Donge.
Mwenyezi Mungu amlaze mahali pema Popeni 
Amin.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.