Habari za Punde

Naibu Mufti afungua kongamano la amani kabla, wakati na baada ya Uchaguzi, kisiwani Pemba

Waandishi Habari kisiwani Pemba, wakimsikiliza kwa makini Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar Shekh Mahmoud Mussa Wadi, wakati alipokuwa akifungua kongamano la amani katika nchi, kabla, wakati na baada ya Uchaguzi, huko katika ukumbi wa skuli ya Madungu Sekondari.
Katibu wa Mufti Mkuu wa Zanzibar Shekh Fadhil Suleiman Suraga, akitoa mada ya nafasi ya waandishi wa habari kuelekea Uchaguzi Mkuu, katika kongamano la siku moja la kuhimiza amani, kabla, wakati na baada ya uchaguzi huko katika skuli ya Madungu Sekondari Chake Chake.

Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar Shekh Mahmoud Mussa 

Wadi, akifungua kongamano la siku moja juu ya kuihimiza 

amani ya nchi, kwa waandishi wa habari kisiwani Pemba, 

huko katika skuli ya Mdungu Sekondari.

(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.