Habari za Punde

Dk Shein aongoza kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar

  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) Naibu Katibu Mkuu wa CCM ZanzibarVuai Ali Vuai (kulia) na  Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar pia Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Balozi Seif Ali Iddi wakiwa katika kikao cha siku moja cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar kilichofanyika leo katika ukumbi wa Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja

 Baadhi ya wajumbe wa kikao cha siku moja cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar kilichofanyika leo, katika Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja wakipitia agenda  kabla ya kuanza kwa kikao hicho  katika ukumbi wa mkutano chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein 
 Baadhi ya wajumbe wa kikao cha siku moja cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar ukumbi wa Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) Naibu Katibu Mkuu wa CCM ZanzibarVuai Ali Vuai (kulia) na  Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar pia Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Balozi Seif Ali Iddi wakiwa katika kikao cha siku moja cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar kilichofanyika leo katika ukumbi wa Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja
Baadhi ya wajumbe wa kikao cha siku moja cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar wakipiga makofi ka kuimba wimbo wa Chama cha Mapinduzi wakati Mwenyekiti wa kikao hicho Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein alipoingia katika ukumbi wa Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja kilimofanyika leo. Picha na IKULU

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.