Habari za Punde

Gari aina ya Suzuki ilivyoungua Chake, Pemba

 GARI aina ya Suzuki samorai yenye namba za usajili Z 428AD, inayomilikiwa na Khalfani Saidi Salum (Chondoma) ikiwaka moto katika makutano ya barabara ya kutokea soko la katari na kuelekea kibirinzi Chake Chake Pemba,garihi inayokisiwa kuwa na thamani ya shilingi Milioni nne.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
 WANANCHI mbali mbali kisiwani Pemba, wakiangalia gari iliyokuwa ikiwaka moto huku wakiwa hawajuwi la kufanya kutokana na kushindwa kuwa na vifaa vya kuzimia moto huo, gari hiyo inayokisiwa kuwa na thamani ya shilingi Milioni nne 4,000,000/=.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
 ASKARI wa kikosi cha zimamoto na uokozi kisiwani Pemba, wakizima moto katika gari iliyokuwa ikiwaka katika makutano ya barabara ya kutokea soko la katiri kuelekea kibirinzi Chake Chake Pemba, gari hiyo inayokisiwa kuwa na thamani ya shilingi Milioni nne 4,000,000/=.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
 MSAIDIZI wa Mkuu wa kikosi cha Zimamoto na uokozi kisiwani Pemba, Ali Mcha Khamis katikati akiangalia gari iliyokuwa ikiwaka moto, baada ya kuzimwa moto huo na kikaosi cha zimamoto na uokozi Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

 MMILIKI wa gari aina ya Suzuki samorai yenye namba za usajili Z 428AD, Khalfani Said Salum (Chondoma), kulia akiangalia gari yake wakati ilipokuwa ikifunguliwa sehemu za mbele, baada ya kuzimwa moto huo uliokuwa ukiwaka baada ya gari hiyo kupata hitilafu.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

WANANCHI mbali mbali wakishuhudia gari ilivyoteketea kwa moto katika sehemu ya mashine ya gari hiyo ilivyoteketea yote kwa moto.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.