Habari za Punde

Rais wa Zanzibar Dk Shein Alizindua Baraza la Tisa la Wawakilishi Zanzibar.


Balozi Mdogo wa China Zanzibar akiwasili katika Jengo la Baraza la Wawakilishi kuhudhuria Uzinduzi wa Baraza la Tisa la Wawakilishi Zanzibar lililozinduliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohanmed Shein, 5-4-2016. Chukwani Zanzibar.
Balozi Mdogo wa China Zanzibar akisalimiana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilisahi Zanzibar wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Baraza la Tisa la Wawakilishi Zanzibar. 
Balozi wa Heshima wa Uingereza Zanzibar akiwasili katika Jengo la Baraza la Wawakilishi kuhudhuria Uzinduzi wa Baraza la Tisa la Wawakilishi Zanzibar lililozinduliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohanmed Shein. Chukwani Zanzibar.
Balozi Mdogo wa Msumbiji Zanzibar akiwasili katika Jengo la Baraza la Wawakilishi kuhudhuria Uzinduzi wa Baraza la Tisa la Wawakilishi Zanzibar lililozinduliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohanmed Shein, Chukwani Zanzibar.
Spika Mstaaf wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe Pandu Ameir Kificho akiwasili katika jengo la Baraza kuhuduria Uzinduzi wa Baraza la Tisa la Wawakiliashi Zanzibar.
Mhe Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe Zuberi Ali Maulid akiwa na Kamishna wa Polisi Zanzibar Hamdani Omar Makame na Katibu wa Baraza Dk Yahya Hamah Khamis, wakisubiri kumpokea Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein. 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akiwasili katika viwanja vya Baraza la Wawakilishi kwa ajili ya kulizindua Baraza la Tisa la Wawakilishi Zanzibar. 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Spika wa Baraza la Wawakilishi Mhe Zuberi Ali Maulid wakati akiwasili katika viwanja vya Baraza kuhudhuria Uzinduzi wa Baraza la Tisa la Wawakilishi Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Wawakiolishi akisalimiana na Kamishna wa Polisi Zanzibar Hamdani Omar Makame.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akipokea saluti ya bwarifde Maalum lililoandaliwa kwa ajili ya Uzinduzi wa Baraza la Tisa la Wawakilishi Zanzibar. 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akikagua bwaride Maalum la Uzinduzi wa Baraza la Tisa la Wawakilishi Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akiingia katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi akiongozana na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe Zuberi Ali Maulid, kwa ajili ya Uzinduzi wa Baraza la Tisa la Wawakilishi Zanzibar.  
Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wakisimama wakati wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Shein, akiingia katika Ukumbi wa Mkutano kwa ajili ya Uzinduzi wa Baraza jipya la Tisa la Wawakilishi Zanzibar.
Mhe Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe Zuberi Ali Maulid akizungumza na Wajumbe kabla ya kumkaribisha Rais wa Zanzibar kulihutubia na kulizindua Baraza la Tisa la Wawakilishi Zanzibar.
Wajumbe wa Baraza wakimsikiliza Spika wa Baraza la Wawakilishi Mhe Zuberi Ali Maulid wakiwa katika ukumbi wa Mkutano.
Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe Omar Othman Makungu akiwa katika ukumbi wa Baraza wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Baraza la Tisa. 
Wajumbe wa Baraza wakimsikiliza Spika wa Baraza la Wawakilishi Mhe Zuberi Ali Maulid wakiwa katika ukumbi wa Mkutano.

Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wakiwa katika Ukumbi wa Mkutano wa Baraza wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi akilihutubia na kulizindua rasmin. 

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akilihutubia Baraza la Tisa la Wawakilishi Zanzibar.
Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar akilihutubia Baraza la Tisa la Wawakilishi Zanzibar wakati wa uzinduzi wa Baraza hilo. 
Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar akilihutubia Baraza la Tisa la Wawakilishi Zanzibar wakati wa uzinduzi wa Baraza hilo. 
Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar akilihutubia Baraza la Tisa la Wawakilishi Zanzibar wakati wa uzinduzi wa Baraza hilo
Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar akilihutubia Baraza la Tisa la Wawakilishi Zanzibar wakati wa uzinduzi wa Baraza hilo. 
Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar akilihutubia Baraza la Tisa la Wawakilishi Zanzibar wakati wa uzinduzi wa Baraza hilo. 
Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar akilihutubia Baraza la Tisa la Wawakilishi Zanzibar wakati wa uzinduzi wa Baraza hilo. 
Mabalozi Wadogo wa Nchi za India, Msumbiji, na China wakiwa katika ukumbi wa Baraza la wawakilishi wakifuatilia hutuba ya Uzinduzi wa Baraza la Tisa la Wawakilishi Zanzibar.
Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama Zanzibar wakifuatilia uzinduzi wa hutuba ya Rais wa Zanzibar wakati wa Uzinduzi wa Baraza la Tisa. 
Waziri Jamuhuri Makamba, Spika Mstaaf wa Zanzibar Mhe Pandu Ameir Kificho Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Balozi Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, wakifuatilia hutuba ya Uzinduzi wa Baraza la Tisa la Wawakilishi Zanzibar ikitolewa na Rais wa Zanzibar  Dk Shein
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi akiwa katika picha ya pamoja na Mhe Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe Zuberi Ali Maulid na Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe Omar Othman Makungu.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Baraza la Tisa la Wawakilishi Zanzibar baada ya kuliozindua na kulihutubia. 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Baraza la Tisa la Wawakilishi Zanzibar baada ya kuliozindua na kulihutubia. 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akizungumza na Spika wa Baraza la Wawakilishi nje ya ukumbi wa mkutano baada ya kulihutubia na kulizindua rasmin kuaza kazi yake ya Kutunga Sheria Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.