Askari wa Usalama Barabara na Wananchi wakiangalia magari yaliogongana uso kwa uso katika barabara ya kwa boko, katika ajali hiyo iliyozihushisha gari ya daladala na gari ndogo. Dereva wa gari ndogo amepata majaraha.
Wafanyakazi Watakiwa Kufanya Kazi kwa Bidii na Nidhamu
-
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Kazi, Uchumi na Uwekezaji Mhe. Shariff Ali
Shariff ametoa wito kwa wananchi na wafanyakazi wote kushiriki kikamilifu
katik...
13 hours ago
No comments:
Post a Comment