STATE HOUSE ZANZIBAR
OFFICE OF THE PRESS SECRETARY
PRESS RELEASE
Zanzibar 30 Mei, 2016
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
ambaye pia ni Makamu mwenyekiti wa Chama cha
Mapinduzi Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein amewataka
wanachama na wapenzi wa chama hicho kisiwani Pemba
kuendeleza vuguvugu la ushindi wa chama hicho hadi
uchaguzi mkuu ujao mwaka 2020.
ambaye pia ni Makamu mwenyekiti wa Chama cha
Mapinduzi Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein amewataka
wanachama na wapenzi wa chama hicho kisiwani Pemba
kuendeleza vuguvugu la ushindi wa chama hicho hadi
uchaguzi mkuu ujao mwaka 2020.
Dk. Shein amesema vuguvugu hilo halina budi kwenda
sambamba na usimamizi makini wa utekelezaji wa Ilani ya
Uchaguzi ya Chama hicho ya 2015/2020 ambayo ndio
chachu ya ushindi wa CCM katika uchaguzi wa marudio
uliofanyika mwezi Machi 2016.
sambamba na usimamizi makini wa utekelezaji wa Ilani ya
Uchaguzi ya Chama hicho ya 2015/2020 ambayo ndio
chachu ya ushindi wa CCM katika uchaguzi wa marudio
uliofanyika mwezi Machi 2016.
Dk. Shein amesema hayo leo wakati alipokuwa
akizungumza na viongozi wa chama hicho kuanzia ngazi ya
mashina hadi wilaya wa wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini
Pemba.
akizungumza na viongozi wa chama hicho kuanzia ngazi ya
mashina hadi wilaya wa wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini
Pemba.
“Kazi ya chama cha siasa wakati wote ni kuendeleza
vuguvugu la kisiasa mbalo litawaweka wanachama na
wapenzi wake pamoja kwa lengo la kuimarisha uhai wake
na kujipambanua katika kutekeleza malengo yake kwa jamii”
Dk. Shein alisisitiza.
vuguvugu la kisiasa mbalo litawaweka wanachama na
wapenzi wake pamoja kwa lengo la kuimarisha uhai wake
na kujipambanua katika kutekeleza malengo yake kwa jamii”
Dk. Shein alisisitiza.
Aliwaeleza viongozi hao kuwa kazi kubwa inayowakabili
wana CCM na wananchi ni “kutekeleza Ilani” na kuangalia
namna gani serikali itafanya kazi kwa kutekeleza Ilani hiyo.
Dk. Shein aliwapongeza na kuwashukuru viongozi hao kwa
kusimama imara na kwa ujasiri mkubwa hadi CCM ikaibuka
na ushindi wa kishindo kwa mgombea wake wa urais huku
ikikomba viti vyote vya uwakilishi na udiwani Unguja na
Pemba.
kusimama imara na kwa ujasiri mkubwa hadi CCM ikaibuka
na ushindi wa kishindo kwa mgombea wake wa urais huku
ikikomba viti vyote vya uwakilishi na udiwani Unguja na
Pemba.
aliwakumbusha viongozi hao kuwa mwaka ujao chama
hicho kitafanya uchaguzi wake kuwapata viongozi hivyo
hawana budi kuanza kujiandaa.
“Ni uchaguzi utakaoimarisha chama chetu kwa kupata
viongozi makini na wenye uwezo wa kukiongoza chama
chetu na kutuletea ushindi katika uchaguzi wa 20202” Dk.
Shein alieleza na kuwasisitizia viongozi hao kuwa sasa ni
kazi tu hakuna kulala.
viongozi makini na wenye uwezo wa kukiongoza chama
chetu na kutuletea ushindi katika uchaguzi wa 20202” Dk.
Shein alieleza na kuwasisitizia viongozi hao kuwa sasa ni
kazi tu hakuna kulala.
Katika hatua nyingine Makamu Mwenyekiti huyo wa CCM
aliwaeleza viongozi hao kuwa chama hakitawavumilia
viongozi ambao hawatatimiza majukumu yao hivyo
kuwatanabahisha viongozi katika chama hicho kuepuka
ubabaishaji.
aliwaeleza viongozi hao kuwa chama hakitawavumilia
viongozi ambao hawatatimiza majukumu yao hivyo
kuwatanabahisha viongozi katika chama hicho kuepuka
ubabaishaji.
Dk. Shein yuko kisiwani Pemba wa ziara ya siku tatu
kuwashukuru wanachama na wapenzi wa chama hicho kwa
ushindi mkubwa walioupata katika uchaguzi mkuu uliopita.
kuwashukuru wanachama na wapenzi wa chama hicho kwa
ushindi mkubwa walioupata katika uchaguzi mkuu uliopita.
Postal Address: 2422 Tel.+255 776 613 015, Fax: 024 2231822
No comments:
Post a Comment