Watendaji wa Kituo cha Huduma
za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba wakiwa na watoto ambao ni wanachama wa
Jumuiya watu wenye ulemavu wa akili Pemba, pamoja na waalimu, mara
baada ya kumalizika kwa maadhimisho ya miaka 24 ya ZLSC yaliofanyika uwanja wa
Gombani Chakechake,
Mjumbe wa kamati tendaji wa
Jumuiya kwa ajili ya watu wenye ulemavu wa akili Zanzibar Mkubwa Hamad Omar,
akielezea jinsi watu wa jumuia yake wanavyoweza kuleta mafanikio nadani ya
jamii, kwenye maadhimisho ya miaka 24 ya Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar
ZLSC, yaliofanyika uwanja wa Gombani Chakechake
Mratibu wa Kituo cha Huduma
za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, Fatma Khamis Hemed akimkabidhi kepteni
wa timu ya vijana wenye ulemavu wa akili Pemba zawadi Maulid, mara baada ya
timu hiyo kuibuka na ushindi, kwenye maadhimisho ya siku ya kutimia miaka 24 ya
ZLSC yaliofanyika uwanja wa Gombani,
Mratibu wa Kituo cha Huduma
za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, Fatma Khamis Hemed akimkabidhi mshindi
wa mbio za mbatata kijana mwenye ulemavu wa akili Pemba, mara baada ya kuibuka
na mshindi, kwenye maadhimisho ya kutimia miaka 24 ya ZLSC, yaliofanyika uwanja
wa Gombani
Mratibu wa Kituo cha Huduma
za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba Fatma Khamis Hemed, akimkabidhi Riziki
Juma Khami mwenye ulemavu wa akili, zawadi ya kuwa mshindi wa kula maandazi, kwenye
maadhimisho ya miaka 24 ya ZLSC yaliofanyika uwanja wa Gombani
Afisa Mipango wa Kituo cha
Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, Safia Saleh Sultan akimkabidhi
mmoja wa wanachama wa Jumuia kwa ajili ya watu wenye ulemavu wa akili Pemba, zawadi
za Jumuia hiyo, ambapo hafla hiyo iliambatana na maadhimisho ya miaka 24 ya
ZLSC, na kufanyika uwanja wa Gombani Chakechake
Watendaji wa Kituo cha Huduma za
Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, wakiwa na washindi wa michezo ya mpira wa
miguu, mbio za mbataa na kula maandazi ambao ni wanachama wa Jumuia kwa ajili
ya watu wenye ulemavu wa akili Pemba, pamoja na waalimu, maara baada ya
kumalizika kwa maadhimisho ya miaka 24 ya ZSLSC yaliofanyika uwanja wa Gombani
Chakechake, (Picha na Haji Nassor,
Pemba).
No comments:
Post a Comment