THBUB YAANDAA MKUTANO WA WADAU KUJADILI HAKI ZA BINADAMU KATIKA BIASHARA
-
Farida Mangube, Morogoro.
TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) kwa kushirikiana na
Taasisi ya Kimataifa ya Haki za Binadamu ya Denmark, imean...
10 hours ago
Haah! jamani, kweli Z'bar yetu "imechoka" sijui ni kwasababu za siasa au ni mitazamo ya watu...sijui!
ReplyDeleteHivi kweli msanii kama Bi Fauzia Abdallah anafariki, tunashindwa kupata hata wasfu wake? au picha?
Tunaishia kukopi taarifa kutoka kwa watu wengine? lakini cha kushangaza gazeti letu pekee tunalolitegemea na ambalo inatakiwa lihudumie watu takriban 1200,000 utalikuta kimesheheni taarifa za Bara ambako kuna magazeti na wandishi wengi mahiri huku ya kwetu tunayaacha!