Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan
ahutubia katika Jukwaa la Wafanyabiashara wa Tanzania na Uturuki Jijini
Istanbul
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
akizungumza na Wafanyabiashara na Wawekezaji katika Jukwaa la
Wafanyabiashara wa Tanzani...
8 minutes ago
Haah! jamani, kweli Z'bar yetu "imechoka" sijui ni kwasababu za siasa au ni mitazamo ya watu...sijui!
ReplyDeleteHivi kweli msanii kama Bi Fauzia Abdallah anafariki, tunashindwa kupata hata wasfu wake? au picha?
Tunaishia kukopi taarifa kutoka kwa watu wengine? lakini cha kushangaza gazeti letu pekee tunalolitegemea na ambalo inatakiwa lihudumie watu takriban 1200,000 utalikuta kimesheheni taarifa za Bara ambako kuna magazeti na wandishi wengi mahiri huku ya kwetu tunayaacha!