Habari za Punde

Mh January Makamba Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Azungumza na Waandishi wa Habari Kuhusu Siku ya Mazingira Duniani

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mh January Y. Makamba, akionyesha Tamko Rasmi kwa Waandishi wa Habari  (hawapo pichani) kuhusu siku ya Mazingira Duniani.
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais,BwanaMbarak  M. Abdulwakil ( wa kwanza kushoto) akifuatiwa na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais( wa pili kushoto )Injinia Ngosi Mwihava wakimsikiliza kwa makini Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mh.Makamba wakati akitoa Tamko la Siku ya Mazingira Duniani.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mh. January Y. Makamba,akiongea na waandishi wa Habari  kuhusu Tamko la Siku ya Mazingira Duniani


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.