Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mh. Riziki Pemba Juma akimkabidhi Madeski 50 Mwalimu Mkuu wa Skuli ya Msingi ya Mahonda Mwalimu Kazima Moh’d Makame.
Baadhi ya Madeski yaliyotolewa na Mwakilishi wa Jimbo la Mahonda Balozi Seif Ali Iddi yenye thamani ya shilingi Milioni 8,500,000/- akitekeleza ahadi aliyotowa wiki chache zilizopita.
Balozi Seif akimkabidhi fedha taslim Mwenyekiti wa Tawi la CCM Zingwe zingwe Nd. Omar Juma Omar ajili ya ujenzi wa Mnara wa kuwekea Tangi la Maji safi la Skuli ya Msingi ya Zingwe zingwe.
Balozi Seif akimkabidhi fedha Taslim Imam wa Msikiti wa Ijumaa Mahonda kwa ajili ya Shughuli za Tahfidh Quran kwenye kipindi hichi cha mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Balozi Seif akimkabidhi fedha taslim Mwalimu wa Madrasatul Laaila – hailallah ya Kijiji cha Kitope kwa ajili ya kuendeleza harakati za Madrasa hiyo.
Picha na – OMPR – ZNZ.
No comments:
Post a Comment