Habari za Punde

Kongamano la Career Day lafanyika Chakechake, Pemba

 AFISA Mdhamini Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Pemba Salum Kitwana Sururu, akizungumza na wanafunzi wa skuli ya Madungu na Shamiani Sekondari juu ya mpango wa CAREER DAY, wa kuhamasisha wanafunzi wanapomaliza masomo kuwa na lengo mbadala la kufanyia kazi.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
 WANAFUNZI wa kidato cha nne,tatu, tano na sita katika Skuli za Sekondari Madungu na Shamiani, wakimsikiliza hutuba ya afisa mdhamini wa Wizara ya Elimu Pemba, Salum Kitwana Sururu hayupo pichani, akifungua kongamano la CAREER DAY, huko katika skuli ya madungu sekondari Chake Chake Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
 WALIMU wa skuli ya Madungu na Shamiani Sekondari wakifuatilia, hutuba ya Afisa Mdhamini wizara ya Elimu Salum Kitwana Sururu, wakati akifungua kongamano la CAREER DAY, huko katika skuli ya Madungu Sekondari Chake Chake Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

MWANAFUNZI wa Skuli ya Sekondari Shamiani Chake Chake Pemba, akitoa wazo lake katika kongamano la CAREER DAY, huko katika skuli ya Madungu Sekondari Chake Chake Pemba. (Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.