Habari za Punde

Mafunzo kwa wajumbe wa Saccos yafanyika kisiwani Pemba

 WAJUMBE wa SACCOS Kisiwani Pemba wakiwa kwenye mafunzo ya siku tatu yaliofanyika skuli ya Michakaini Chakechake, (Picha na Bakar Mussa, Pemba).
MKUU wa wilaya ya Chakechake Salama Mbarouk Khatib akifungua mafunzo ya siku tatu kwa wajumbe wa SACCOS kisiwani Pemba yaliofanyika skuli ya Michakaini Chakechake , (Picha na Bakar Mussa Pemba).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.