Wananchi wa Tumbatu Jongoe wakishusha vipolo vyenye misaada mbalimbali kwaajili ya mwezi Mtukufu wa Ramadhan.
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Sadakatasi ya Uturuki Emrah Eugin akimkabidhi kipolo chenye Mchele, unga, sukari na mafuta ya kula kwa ajili ya mwezi Mtukufu wa Ramazan mmoja wa wazee wa Tumbatu Jongoe.
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Sadakatasi ya Uturuki Emrah Eugin wakatikati na mwenziwe Huseyin Kursun (kushoto) wakiwapa nguo watoto wa Tumbatu Jongoe ikiwa ni miongoni mwatarati iliyojiwekea Jumuiya hiyo.
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Sadakatasi ya Uturuki Emrah Eugin akiagana na watoto wa kisiwa cha Tumbatu Jongoe, mara baada ya kumaliza kutoa sadaka ya vitu mbalimbali vyenye thamani ya milioni kumi na nane. Picha na Makame Mshenga/Maelezo Zanzibar.
No comments:
Post a Comment