Habari za Punde

Masheha Viongozi wa Dini na Asasi za Kiraia Wapata Elimu ya Kuzuiya Maambukizi ya VVU Kisiwani Pemba.

Meneja wa Kitengo shirikishi cha Ukimwi, Kifua Kikuu na Ukoma Pemba, dk Abdalla Omar Hassan, akifungua mkutano wa siku moja kwa masheha, waandishi wa habari, viongozi wa dini na wa Asasi za Kirai, juu ya njia za kuzuia maambukizi ya VVU, kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto, yaliofanyika Maabara ya afya ya Jamii Wawi,
MSHIRIKI wa mkutano wa kujadili njia za kuzuia maambukizi ya VVU, kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto, Abdalla Abeid, akichangia jambo, kwenye mkutano huo uliofanyika Maabara ya afya ya Jamii Wawi. 
MSHIRIKI wa mkutano wa kujadili njia za kuzuia maambukizi ya VVU, kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto, mtangaazaji wa sauti ya Isqama Pemba, Salum Ali Msellem, akichangia jambo, mkutano huo uliofanyika Maabara ya afya ya Jamii Wawi, (Picha na Haji Nassor, Pemba).


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.