BAADHI ya mikarafuu tisa inayomilikiwa na
sheha wa shehia wa Kendwa wilaya ya Mkoani Sabiha Mohamed Ali, ambayo ilikatwa
katwa juzi Juni 8, na watu wasiofahamika kwenye shamba lake liliopo Kwakunga
shehiani humo ambapo hilo ni tukio la tatu na kuifanya idadi ya mikarafuu 22
kuhujumiwa ya sheha huyo, (Picha na Haji
Nassor, Pemba)
BAADHI ya mikarafuu tisa inayomilikiwa na
sheha wa shehia wa Kendwa wilaya ya Mkoani Sabiha Mohamed Ali, ambayo ilikatwa
katwa juzi Juni 8, na watu wasiofahamika kwenye shamba lake liliopo Kwakunga
shehiani humo ambapo hilo ni tukio la tatu na kuifanya idadi ya mikarafuu 22
kuhujumiwa ya sheha huyo, (Picha na Haji
Nassor, Pemba)
MKUU wa ilaya ya Mkoani Pemba Suleiman
Hemed Abadlla akikagua baadhi ya mikarafuu iliyoktwa ikiwa ni milki ya sheha wa shehi ya Kendwa wilayani humo, akielezea
mkasa wa kukatwa kwa Mikarafuu yake tisa, hapo juzi, (Picha na Haji Nassor,
Pemba).
MKUU wa wilaya ya Mkoani Hemed Suleiman
Abdalla akimsikiliza sheha wa shehia ya Kendwa Sabiha Mohamed Ali, wakati
alipofika kwenye shamba lake kushuhudia hujuma ya ukatwaji wa Mikarafuu tisa na
watu wasiofahamika hapo juzi, (Picha na
Haji Nassor, Pemba).
No comments:
Post a Comment