Habari za Punde

Bidhaa zapanda bei mwezi wa Ramadhaan

 WANANCHI na wafanya biashara mbali mbali kisiwani Pemba, wakiwa katika mnada wa bidhaa za futari, kama vile ndizi mbichi, Mihogo na Majimbi katika soko la Chake Chake wakitafuta futari zao, licha ya bidhaa hizo kupanda bei maradufu.(Picha na Abdi Suleiman, Pemba.)
 WANANCHI na wafanya biashara mbali mbali kisiwani Pemba, wakiwa katika mnada wa bidhaa za futari, kama vile ndizi mbichi, Mihogo na Majimbi katika soko la Chake Chake wakitafuta futari zao, licha ya bidhaa hizo kupoanda bei maradufu.(Picha na Abdi Suleiman, Pemba.)
BIDHAA za ndizi mbivu ambazo katika mwezi Mtukufu wa Ramadhani huwa maarufu, zimepanda bei kwa mkungu mmoja kuuzwa kati ya 30000,25000 hadi 20000, ikitegemewa na ukubwa wa mkungu, kama zinavyoonekana katika picha.(Picha na Abdi Suleiman, Pemba.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.