WAKULIMA wa Karafuu kutoka Wilaya ya Micheweni
Kisiwani Pemba, wakifuatilia mada mbali mbali zilizokuwa zikitolewa katika
mkutano maalumu ulioandaliwa na ZSTC kwa wakulima wake kila mwisho wa msimu wa
zao la karauu.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MWENYEKITI wa Bodi ya shirika la biashara la taifa
ZSTC Zanzibar, Mwalimu Suleiman Kassim, akizungumza na wakulima wa karafuu
Wilaya ya Micheweni Kisiwani Pemba. .(Picha
na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MAAFISA mbali mbali wa vikozi vya Ulinzi na Usalama
Mkoa wa Kaskazini Pemba, wakiongozwa na kamanda wa Polisi Mkoa huo Hassan
Nassir Ali wa kwanza kutoka kushoto, wakifuatia mkutano wa kulima wa ZSTC
Wilaya ya Micheweni.(Picha na Abdi
Suleiman, PEMBA.)
MKUU wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Mhe:Omar Khamis
Othamni, akizungumza na wakulima wa karafuu wilaya ya Micheweni katika mkutano
ulioandaliwa na Shirika la ZSTC, huko katika skuli ya Michweni Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
AFISA masoko kutoka shirika la biashara la taifa
ZSTC Salum Abdalla Kibe, akiwasilisha mada ya Tathmini ya utekelezaji wa kazi
kwa msimu wa vuno la karafuu 2015/2016 kwa wakulima wa zao hilo huko katika
skuli ya Micheweni Kisiwani Pemba.(Picha
na Abdi Suleiman, PEMBA.)
SHEHA wa Shehia ya Micheweni mjini Dawa Juma
Mshindo, akichangia katika mkutano wa wakulima wa zao la Karafuu wa Wilaya ya
Micheweni Kisiwani Pemba.(Picha na Abdi
Suleiman, PEMBA.)
MKUU wa Wilaya ya Micheweni Abeid Juma Ali,
akichangia mada katika mkutano wa wakulima wa Wilaya hiyo, uliondaliwa na
shirika la biashara la ZSTC.(Picha na
Abdi Suleiman, PEMBA.)
AFISA mdhamini wa Shirika la Biashara la Taifa ZSTC
Pemba, Abdalla Ali Ussi akijibu michengo mbali mbali iliyotolewa na wakulima wa
karafuu kisiwani Pemba.(Picha na Abdi
Suleiman, PEMBA.)
MKULIMA bora wa zao la karafuu Wilaya ya Micheweni
2015/2016 Abdalla Saidi Abdalla, akikabidhiwa cheti chake na Mkuu wa mkoa wa
kaskazini Pemba Omar Khamis Othaman, huko katika mkutano wa wakulima wa zao
hilo huko Micheweni.(Picha na Abdi
Suleiman, PEMBA.)
MKULIMA bora wa kwanza Wilaya ya Micheweni wa zao la
Karafuu 2015/2016 Seif Abdalla Seif, akikabidhiwa cheti chake na Mkuu wa Mkoa
wa kaskazini Pemba, Omar Khamis Othaman huko katika mkutano wa Wakulima wa zao
hilo huko Micheweni.(Picha na Abdi
Suleiman, PEMBA.)
No comments:
Post a Comment