Watoto wakifuatilia mchezo wa mpira wakati wa Siku ya Mtoto wa Afrika katika maadhimisho yaliofanyika katika viwanja vya michezo vya JK .
Watoto mbalimbali wakishiriki katika Siku ya Maadhimisho ya Mtoto wa Afrika Jijini Dar es Salaam wakiangalia mpira katika viwanja vya JK
Meneja wa Huduma za jamii wa Tigo , Woinde Shishael Akizungumza na waandishi wa habari
Meneja wa Huduma za jamii wa Tigo , Woinde Shishael akikabidhi hundi ya mfano ya dola 12,000/ kwa Mtendaji mkuu wa Csema , Kiiga Joel, wakati wa sherehe za siku ya mtoto wa Afrika katika Viwanja vya Jakaya Kikwete Youth Park.
Bahadhi ya watoto wakiwa uwanjani
Maxence M. Melo wa Jamii Forum akiwa katika picha na
Mtendaji mkuu wa Csema , Kiiga Joel
watoto katika michezo mbalimbali
Watoto katika picha ya Pamoja
Maxence M. Melo wa Jamii Forum akiwa katika picha na
Mtendaji mkuu wa Csema , Kiiga Joel
Mmoja ya watoto wakiwa katika michezo
No comments:
Post a Comment