Baadhi ya Waumini wa Dini ya Kiislamu walihudhuria hafla ya ufunguzi wa Masjid Taqwa huko Chokocho Pemba.
Sheikh Othman Maalim akitowa Waadhi kwa Waumini wa Kiislamu waliohudhuria ufunguzi wa Masjid Taqwa, huko Chokocho Kisiwani Pemba.
Waziri Aboud akizungumza na Waumini wa Kiislamu waliohudhuria kufunguliwa kwa Masjid Taqwa, huko Chokocho Kisiwani Pemba.
Picha na Moh'd Salim -Pemba.
No comments:
Post a Comment