Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akifuatilia kwa makini ufunguzi wa mkutano wa 27 kwa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi Wanachama wa Umoja wa Afrika AU ulioanza jana katika Ukumbu wa KCC mjini Kigali Rwanda. Makamu wa Rais amemuwakilisha Rais John Magufuli kwenye mkutano huo. (Picha na OMR)
UNAKOSAJE PESA IJUMAA YA LEO NA MERIDIANBET?
-
IKIWA wikendi inaanza leo hii hapo baadae ligi mbalimbali zinatarajiwa
kupigwa kuanzia kule Ujerumani mpaka Italia huku meridianbet wakikupa
nafasi kubwa ...
54 minutes ago
No comments:
Post a Comment