Mratibu wa Warsha ya Utegenezaji wa Vikaragosi juu Haki za Binaadamu Bi Ebele Okoye,akiongoza mafunzo ya Watoto kutengeneza Filamu za Vikatuni kwa watoto mbalimbali walioshiriki mafunzo hayo kwa Wanafunzi wa Skuli za Msingi Zanzibar wakati wa Tamasha la 19 la Nchi za Jahazi Zanzibar (ZIFF) yaliofanyika katika Kituo cha Muziki Forodhani Zanzibar.
Nafasi ya Kuibuka Milionea Ipo Leo
-
NI Ijumaa nyingine tena ya kutusua kijanja na wakali wa ubashiri
Meridianbet. Mechi za ligi mbalimbali zinatarajiwa kuendelea leo, hivyo
suka jamvi lako ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment