Mratibu wa Warsha ya Utegenezaji wa Vikaragosi juu Haki za Binaadamu Bi Ebele Okoye,akiongoza mafunzo ya Watoto kutengeneza Filamu za Vikatuni kwa watoto mbalimbali walioshiriki mafunzo hayo kwa Wanafunzi wa Skuli za Msingi Zanzibar wakati wa Tamasha la 19 la Nchi za Jahazi Zanzibar (ZIFF) yaliofanyika katika Kituo cha Muziki Forodhani Zanzibar.
SERIKALI YAENDELEA KUIMARISHA UONGOZI NA USIMAMIZI WA ELIMU KUPITIA MAFUNZO
KWA VIONGOZI WA SHULE
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICUZI TV
SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeendelea
kuimarisha uongozi na usimamizi wa elimu nchini kwa kutoa...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment