Habari za Punde

Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Utalii, Utamaduni na Michezo Zanzibar azungumza na watendaji wakuu wa Wizara kisiwani Pemba

 AFISA Mdhamini mpya wa Wizara ya Habari, Utalii, Utamaduni na Michezo Pemba, Khatib Juma Mjaja akimkaribisha Naibu waziri wa Wizara hiyo, Mhe: Chumu Kombo Khamis ili kuzungumza na wakuu wa Idara zilizomo ndani ya wizara hiyo kisiwani Pemba, (Picha na Haji Nasor, Pemba).
 BAADHI ya wakuu wa Idara zilizomo ndani ya Wizara ya Habari Pemba, wakimsikiliza Naibu Waziri wa wizara hiyo Zanzibar Mhe: Chumu Kombo Khamis, wakati alipojitambulisha kwa uongozi wa wizara hiyo kisiwani humo, (Picha na Haji Nassor, Pemba).

NAIBU Waziri wa Wizara ya Habari, Utalii, Utamaduni na Michezo Zanzibar Mhe: Chumu Kombo Khamis akizungumza na wakuu wa Idara za wizara hiyo kisiwani Pemba, kwenye mkutano uliofanyika makao makuu ya wizara hiyo mjini Chakechake Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.