Habari za Punde

Kilomita 3.6 ya Barabara ya Mgagadu - Kiwani Yawekewa lami Mpya Kisiwani Pemba.

 Gari ya Wizara ya Mawasiliano Ujenzi na Usafirishaji Pemba, likimimina lami katika gari maalumu, wakati wa uwekaji wa lami katika barabara ya Mgagadu-Kiwani.
Gari Maalumu ya kuweka lami katika Barabara ikiweka lami katika moja ya barabra ya mgagadu  kwenda kiwani, barabra hiyo inawekwa lami mpya kipande cha kilimita 3.6.

Wafanyakazi wa Kitengo cha Barabara (UUB)kutoka Wizara ya Miundombinu Mawasiliano na Usafirishaji Kisiwani Pemba, wakimwaga lami baadhi ya sehemu amabzo hazijakaa sawa, wakati wa uwekaji wa lami Kilomita 3.6 katika barabara ya Mgagadu-Kiwani Wilaya ya Mkoani Kisiwani Pemba(Picha na Abdi Suleiman)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.