Umalizwaji wa hatua za mwisho wa barabara itokayo kwerekwe makaburini to fuoni pilisi ambayo ina kilometa 4 inayojengwa na Wizara ya Mawasiliano na Miundombinu chini ya hifadhi ya barabara(Ubb) ambayo ujenzi wake ulianza mwaka jana mwezi wa 11.
Hatua hii kitaalamu inaitwa Prayer coat ambapo gari moja linaweza kuchukuwa lita 9000 za rojo la lami kwa kilomita 1
Tunaomba picha zaidi
ReplyDeleteMBONA HII BARABARA IPO FAKE WANAMWAGA LAMI KAMA WANAMWAGILIA MCHICHA,KWELI HII ITAKUWA BARABARA AU NDIO UJANJA TU
ReplyDelete