Habari za Punde

Mafundi Wakiweka Mabomba ya Maji Kuimarisha Miundombinu ya Barabara za Ndani ya Mitaa ya Unguja.

Mafundi wa wakiweka mabomba kwa ajili ya kupisha kuweka lami barabara ya Misufini kwenda Biziredi barabara hiyo inafanyiwa ukarabati mkubwa wa kuwekwa lami ili kutowa huduma kwa wananchi wa maeneo hayo.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.