Zanzibar ni moja ya Vivutio vya Watalii kutoka sehemu mbalimbali Duniani hifika Zanzibar kwa ajili ya kutembelea sehemu za historia ya Nchi hiyo kama wanavyoonekana Wageni hawa wakiwa katika mitaa ya Mji Mkongwe wa Zanzibar katika mtaa wa mkunazini wakiangalia Mbuyu ukiwa uko ndani ya Mji wa Zanzibar ni moja ya kivutio cha Watalii wanaofika Zanzibar.
WAKULIMA KUNUFAISHWA NA (TBL) KUPITIA MASOKO YA KIKANDA
-
KAMPUNI ya Tanzania(TBL) imedhamiria kuwasaidia wakulima nchini kwa
kutambua uwezo wao wa kulisha watu, viwanda, na biashara katika ukanda huu
kupitia mika...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment