Zanzibar ni moja ya Vivutio vya Watalii kutoka sehemu mbalimbali Duniani hifika Zanzibar kwa ajili ya kutembelea sehemu za historia ya Nchi hiyo kama wanavyoonekana Wageni hawa wakiwa katika mitaa ya Mji Mkongwe wa Zanzibar katika mtaa wa mkunazini wakiangalia Mbuyu ukiwa uko ndani ya Mji wa Zanzibar ni moja ya kivutio cha Watalii wanaofika Zanzibar.
KWA SASA NYAMA CHOMA NI VINGUNGUTI KWA KUMBILAMOTO TU…NJOO TUINJOI MTU WANGU
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
Ni mwendo wa nyamachoma tu! Hivi ndivyo unavyoweza kuelezea yanayoendelea
katika soko la nyama choma la Kumbilamoto lililopo Vi...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment