NAIBU katibu Mkuu Wizara ya Miundombinu Mawasiliano
na Usafirishaji Zanzibar, Shomar Omar Shomar akiwafahamisha jambo wajumbe wa
Mfuko wa Barabara Zanzibar, wakati walipokagua matengenezo yanayoendelea
kufanywa na kampuni ya MECCO katika barabara ya Bahanasa-Mtambwe, barabara
zilijengwa na Kampuni ya H-YOUNG.(Picha
Na Abdi Suleiman, PEMBA.)
NAIBU katibu Mkuu Wizara ya Miundombinu Mawasiliano
na Usafirishaji Zanzibar, Shomar Omar Shomar akimfahamisha kitu msimamizi wa
matengenezo yanayoendelea kufanywa katika barabara ya Bahanasa-Mtwambe na
Kampuni ya MECCO Injinia Ombeni Olegenes, wakati wajumbe wa bodi ya mfuko wa
barabara walipotembelea barabara hiyo.(Picha
Na Abdi Suleiman, PEMBA.)
WAJUMBE wa Bodi ya Mfuko wa Barabara Zanzibar,
wakiangalia moja ya matengenezo yanayoendelea kufanywa katika barabara ya
Bahanasa-Mtambwe na kampuni ya MECCO, wakati wa ziara yao ya kutembelea
barabara mbali mbali za Kisiwa Cha Pemba.(Picha
Na Abdi Suleiman, PEMBA.)
WACHIMBAJI wa Msingi wa kuwekea bomba la Maji,
uliopo karibu na barabara wakiendelea na kazi yao licha ya kipindi cha nyumwa
kusimamishwa kutokuchimba msingi huo, kwa kuwa upokaribu na barabra ya
Konde-msuka, hatiame wajumbe wa bodi ya Mfuko wa barabara Zanzibar umesimamisha
kazi hiyo isiendelea hadi Wizara mbili Miundombinu Mawasiniano na Usafirishaji
na Wizara ya Ardhi, Maji, Nishati na Mazingira zitakapokutana.(Picha Na Abdi Suleiman, PEMBA.)
INJINIA Mkaazi wa Wizara ya Miundombinu Mawasiliano
na Usafirishaji Khamis Massoud Mwenyeshati la mikono mirefu, akitoa maelezeo
kwa Naibu Katibu Mkuu Wizara hiyo Shomar Omar Shomar, wakati wakiangalia kazi
ya Uchimbaji wa Msingi wa kuwekea bomba la Maji katika barabra ya Konde-Msuka,
msingi huo ulio karibu na barabra hiyo.(Picha
Na Abdi Suleiman, PEMBA.)
No comments:
Post a Comment