Wananchi wakiwa katika marikiti kuu ya darajani wakiangalia samaki aina ya Chewa aliyevuliwa
katika bahari ya Nungwi Zanzibar akiwa katika marikiti hiyo baada ya kuuzwa kwa shilingi laki sita katika mnada huo anakaribiwa kuwa na uzito wa kilo 85. Akichunwa ngozi kwa ali ya kuuzwa kwa wananchi.
WAWEKEZAJI WA CHINA, UWT WAJADILI KUHUSU NISHATI SAFI
-
Na MWANDISHI WETU
WAWEKEZAJI kutoka China wamekutana na Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) na
kujadiliana kuhusu uwekezaji hususan katika uzalishaji wa Nis...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment