Wananchi wakiwa katika marikiti kuu ya darajani wakiangalia samaki aina ya Chewa aliyevuliwa
katika bahari ya Nungwi Zanzibar akiwa katika marikiti hiyo baada ya kuuzwa kwa shilingi laki sita katika mnada huo anakaribiwa kuwa na uzito wa kilo 85. Akichunwa ngozi kwa ali ya kuuzwa kwa wananchi.
KWA SASA NYAMA CHOMA NI VINGUNGUTI KWA KUMBILAMOTO TU…NJOO TUINJOI MTU WANGU
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
Ni mwendo wa nyamachoma tu! Hivi ndivyo unavyoweza kuelezea yanayoendelea
katika soko la nyama choma la Kumbilamoto lililopo Vi...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment