Habari za Punde

Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi watembelea Sober House na Tasaf Pemba


 Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wanaosimamia Ofisi za Viongozi Wakuu wa Kitaifa wakitembelea Sober House za Pemba.
Baadhi ya vijana wa Sober House wakiwasikiliza wajumbe wa Baraza la Wawakilishi walipowatembelea huko kisiwani Pemba

Viongozi wa ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wakiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wakati wakikagua mradi wa TASAF wa Skuli ya Chekechea ya Shehia ya Junguni Jimbo la Gando.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.