Habari za Punde

UN Yaadhimisha Miaka 71. Zanzibar katika Ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mazizini.




MKURUGENZI Mkaazi wa UN Tanzania Alvaro Rodriguez, akitowa salamu za Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, wakati wa maadhimisho ya miaka 71 ya UN waliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mazizini Zanzibar

Waziri Vijana Uwezeshaji Wanawake na Watoto Mhe. Moudline Castico akihutubia wakati wa maadhimisho ya miaka 71 ya Umoja wa Mataifa akimuwakilisha Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe Riziki Pembe, wakati wa hafla ya chakula cha usiku kilichofanyika katika ukumbi wa Hioteli ya Zanzibar Beach Resort Mazizini Zanzibar






No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.