Habari za Punde

Jengo la Mahakama Kuu Chakechake kufunguliwa rasmi na Rais Dk Shein

 JENGO la Mahakama kuu Chakechake Pemba, ambalo hivi karibuni, lilifanyiwa matengenezo makubwa na linatarajiwa kufunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dk, Ali Mohamed Shein, (Picha na Haji Nassor, Pemba). 

 UJUMBE wa Idara za mahakama na Naibu waziri wa wizara ya nchi afisi ya rais, Katiba, sheria, utumishi wa umma na utawala bora Zanzibar, ukielekea kwenye jengo la mahakama kuu Chakechake Pemba, kwa ajili ya kuanza ziara ya siku mbili kisiwani Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 UJUMBE wa Idara za mahakama na Naibu waziri wa wizara ya nchi afisi ya rais, Katiba, sheria, utumishi wa umma na utawala bora Zanzibar, ukielekea kwenye jengo la mahakama kuu Chakechake Pemba, kwa ajili ya kuanza ziara ya siku mbili kisiwani Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 MRAJISI wa Jimbo mahakama kuu Pemba, Hussein Makame Hussein (mwenye koti), akisalimiana na Naibu waziri wa nchi afisi ya rais Katiba, sheria, utumishi wa umma na utawala bora, Zanzibar Khamis Juma Malim, wakati alipofika kwenye jengo hilo la mahakama lililofanyiwa matengenezo makubwa, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 MRAJISI wa Jimbo mahakama kuu Pemba, Hussein Makame Hussein, akitoa maelezo juu ya chumba cha mahakama kuendesha kesi, kwenye jengo la mahakama kuu Pemba, baada ya kufanyiwa matengenezo makubwa jengo hilo, (Picha na Haji Nassor, Pemba).


NAIBU waziri wa wizara ya nchi afisi ya rais Katiba, sharia, utumishi wa umma na utawala bora Khamis Juma Maalim akiwa na Mrajisi wa mahakama Ali Ameir na Afisa Mdhamini wa wizara hiyo Pemba Massoud Ali Mohamed na mahakimu  wakiwa kwenye ziara ya kuzitembelea mahakama za Wete na Konde, (Picha zote na Haji Nassor, Pemba)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.