‘KUMEKUCHA’ Mburura mkokoteni katika eneo la bandarini Mkoani
Pemba, akiyasafirisha madumu matupu ya mafuta kupikia, ikiwa ni sehemu ya kazi
yake ya kujipatia kipato cha halali kila siku, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
MHE. RAIS SAMIA APONGEZWA KUTEKELEZA MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA KWA VITENDO
-
-Mitungi ya gesi 330 kugaiwa bure kwa Watumishi Magereza Simiyu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
amepongezwa kwa kute...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment