‘KUMEKUCHA’ Mburura mkokoteni katika eneo la bandarini Mkoani
Pemba, akiyasafirisha madumu matupu ya mafuta kupikia, ikiwa ni sehemu ya kazi
yake ya kujipatia kipato cha halali kila siku, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
Mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ Kati ya Malindi na JKU Mchezo
Uliyofanyika Uwanja wa Maom Zedung Timu hizi Zimetoka Sare ya Bao 1-1
-
Wachezaji wa Timu ya JKU na Malindi wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa
Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ,mchezo uliyofayika katika Uwanja wa Mao Zedung
Jijin...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment