Mwenyekiti wa Umoja wa Watu wa Tanga Zanzibar akizungumza wakati wa mkutano Mkuu wa Umoja huo uliofanyika katika ukumbi wa Studio ya Sanaa Rahaleo Zanzibar. akizungumzia maendeleo ya Umoja huo kwa Wanachama wake kwa kutoa taarifa ya mwaka.
Waandishi wanaogombea ubunge, udiwani wapigwa pini, watakiwa kujiondoa
vyumba vya habari
-
Na Seif Mangwangi, Arusha
KUELEKEA Uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge na Rais Oktoba mwaka huu 2025,
Baraza la Habari Tanzania (MCT), limetoa mwongozo kwa ...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment