Habari za Punde

Warsha kwa Watendaji wa Vyama vya Kuweka na kukopa Pemba

  Baadhi ya Watendaji wa Vyama vya Kuweka na kukopa Pemba na Wadau  wengine wa fedha wakimsikiliza kwa makini , mkuuu wa Wilaya ya Chake Chake , Salama Mbarouk Khatib, akitowa nsaha zake katika ufunguzi wa
warsha ya MIVARF.
 Baadhi ya Watendaji wa Vyama vya Kuweka na kukopa Pemba na Wadau  wengine wa fedha wakimsikiliza kwa makini , mkuuu wa Wilaya ya Chake Chake , Salama Mbarouk Khatib, akitowa nsaha zake katika ufunguzi wa
warsha ya MIVARF.
 Mtaalamu  wa huduma za Kifedha Vijijini (MIVARF) Kutoka Tanzania bara akitowa ufafanuzi wa mpango huo, katika warsha ya  Watendaji wa Saccos Kisiwani Pemba, huko madungu chake chake Pemba.
 Ofisa mdhamini Wizara ya Kazi , Uwezeshaji , Wazee, Vijana, wanawake na watoto Pemba, Khadija Khamis Rajab , akizungumza machache na kumkaribisha  Mkuu wa Wilaya ya Chake Chake Pemba, Salama Mbarouk,Khatib, kufunguwa warsha ya tathmini ya Mivarf huko katika ukumbi wa Skuli ya Madungu Chake Chake Pemba.


 Mkuu wa Wilaya ya Chake Chake Pemba, Salama Mbarouk Khatib, akifunguwa warsha ya Tathmini ya uteklezaji wa mpango wa kuimarisha huduma za fedha Vijijini (MIVARF), huko katika ukumbi wa skuli ya sekondari Madungu Chake Chake.
Mtaalamu  wa huduma za Kifedha Vijijini (MIVARF) Kutoka Tanzania bara akitowa ufafanuzi wa mpango huo, katika warsha ya  Watendaji wa Saccos Kisiwani Pemba, huko madungu chake chake Pemba.

Picha na Bakar Mussa-Pemba

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.