Habari za Punde

Balozi Seif akagua tuta la kuzuwia maji chumvi shehia ya Ndagoni

MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe:Balozi Seif Ali iddi, akiangalia mashamba ya wakulima wanayolima hivi sasa, baada ya Walengwa wa mpango wakunusuru kaya masikini kujengwa tuta la kuzuwia maji chumvi kutokuingia katika mashamba yao, kushoto ni Ijinia Talib Bakari aliesimamia ujenzi wa tuta hilo.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
 MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe:Balozi Seif Ali Iddi, akikagua tuta lenye urefu wa mita 200, linalojengwa na walengwa wa mpango wa kunusuru kaya masikini kupitia mradi wa muda, katika bonde la Kidau shehia ya Ndagoni Wilaya ya Chake Chake.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
 MKUU wa Mkoa wa Kusini Pemba Mhe:Mwanajuma Majid Abdalla, akisalimiana na walengwa wa mpango wa kunusuru kaya masikini shehi ya ndagoni Wilaya ya Chake Chake Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe:Balozi Seif Ali Iddi, akimsikiliza mmoja wa walengwa wa mpango wa kunusuru kaya masikini shehia ya Ndagoni Wilaya ya Chake Chake.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe:Balozi Seif Ali Iddi, akizungumza na walengwa wa mpango wa kunusuru kaya masikini shehia ya ndagoni Wilaya ya Chake Chake, wakati alipofanya ziara ya kuangalia ujenzi wa tuta la kuzuwia maji chumvi, kushoto ni mama Asha Suleima Iddi na kulia ni Waziri wa Nchi Mohamed Aboud Mohamed.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.