LICHA ya Serikali kutaka kujenga viwanja vya michezo kila Wilaya, lakini ipo haja ya kuandaa mazingira mazuri ya kukuza soka la vijana, Pichani watoto wakicheza mpira katika Uwanja wao ambao husubiri hadi maji ya bahari kukupwa na kutoka ndipo wapate nafasi ya kucheza mpira huko Wesha Chake Chake Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
INEC YAENDESHA MAFUNZO KWA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI JIMBO LA KWAHANI ZANZIBAR
-
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Rufaa) Jacobs
Mwambegele akifungua mafunzo ya watendaji wa uchaguzi mdogo wa Jimbo la
Kwahani lil...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment