LICHA ya Serikali kutaka kujenga viwanja vya michezo kila Wilaya, lakini ipo haja ya kuandaa mazingira mazuri ya kukuza soka la vijana, Pichani watoto wakicheza mpira katika Uwanja wao ambao husubiri hadi maji ya bahari kukupwa na kutoka ndipo wapate nafasi ya kucheza mpira huko Wesha Chake Chake Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA YA MAMA SAMIA YAENDELEA KUTOA ELIMU NA HUDUMA
BURE KWA WANANCHI WA HALMASHAURI YA MADABA
-
Madaba_Ruvuma.
Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia imeendelea kuisaidia jamii
isiyo na uwezo wa kugharamia huduma za mawakili kwa kuhakikisha wana...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment