Msanii wa Kikundi cha Music cha Jagwa Music kutoka Tanzania Jackson Kazimoto akitowa burudani kwa wapenzi wake na kuwapagawisha mashabiki wa muziki huo wakati wa onesho lale katika Tamasha la Sauti za Busara Zanzibar linalofanyika katika viwanja vya Mambo Club Ngome Kongwe Zanzibar.
Umoja wa Mataifa na Ubalozi wa Afrika Kusini Wafanya Huduma ya Jamii
Kurasini Kumuenzi Mandela
-
KILA mwaka Julai 18 dunia huadhimisha Siku ya Kimataifa ya Nelson Mandela
kwa kutenga angalau dakika 67 kufanya huduma ya kijamii, kama njia ya
kumuenzi...
52 minutes ago
No comments:
Post a Comment