Msanii wa Kikundi cha Music cha Jagwa Music kutoka Tanzania Jackson Kazimoto akitowa burudani kwa wapenzi wake na kuwapagawisha mashabiki wa muziki huo wakati wa onesho lale katika Tamasha la Sauti za Busara Zanzibar linalofanyika katika viwanja vya Mambo Club Ngome Kongwe Zanzibar.
DKT. BITEKO AELEZA MAPINDUZI YALIYOFANYWA NA SERIKALI SEKTA YA ELIMU
-
-Ataka CWT wasigawanyike, ahimiza amani, upendo na mshikamano*
-Serikali kuendelea kuajiri walimu kila mwaka
- Serikali ya Awamu ya Sita yajenga madarasa 6...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment