Familia ya Shauri Mjaka na Ndugu zake Wanasikitika kutangaza Kifo cha Mtoto wao Abdalla Khelef Shauri Mjaka kilichotokea Nchini Norway siku ya jumamosi na mipango ya mazishi inafanyika baada ya kukamilika taratibu zote za mazishi Nchini Norway.
Marehemu alikuwa akiishi Nchi huko kwa muda mrefu hadi mauti yanamkuta akiwa nchini huo. marehemu anatarajiwa kuzikwa mara baada ya maandalizi kukamilika Nchini Norway kwa kushirikiana na Watanzania wanaoishi huko.
No comments:
Post a Comment