Habari za Punde

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe January Makamba Akizungumza na Waandishi wa Habari wa Vyombo Mbalimbali Jijini Dar Leo.

Baadhiya Maofisa wa Serikali na Waandishi wa habari wakimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira January Makamba wakati akitoa taarifa ya operesheni maalum ya kutokomeza pombe kali aina ya viroba mapema hii leo jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira January Makamba (katikati) akisisitiza jambo kwa Waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati akitoa taarifa ya operesheni maalum ya kutokomeza pombe kali aina ya viroba mapema hii leo jijini Dar es Salaam, kulia ni. Mkurugenzi wa Idara ya Mazingira toka Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Richard Mayungi na kushoto ni Kaimu Kamishna wa Polisi Lucas Mkondya.Picha zote na Eliphace Marwa - Maelezo

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.