Habari za Punde

ZIARA YA KATIBU WA KAMATI MAALUM YA HALMASHAURI KUU YA CCM NEC, IDARA YA SIASA NA UHUSIANO WA KIMATAIFA, MHANDISI HAMAD MASAUNI JIMBONI WELEZO ZANZIBAR

Mbunge wa Jimbo la Welezo, Mhe.Saada Salum Mkuya akizungumza wakati wa ziara ya Katibu wa Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM, NEC, Idara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Mhandisi Hamad Masauni (wa kwanza kulia), ikiwa na lengo la kukagua maeneo sugu yaliyokithiri kwa matendo ya uhalifu ikiwemo utumiaji, uuzaji wa madawa ya kulevya na ubakaji. Ziara hiyo imefanyika Visiwani Unguja
Katibu wa Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM, NEC, Idara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Mhandisi Hamad Masauni,akizungumza wakati wa ziara Jimboni Welezo, Mkoa wa Mjini Magharibi, Unguja, kufuatilia maeneo sugu yaliyokithiri kwa matendo ya uhalifu ikiwemo utumiaji, uuzaji wa madawa ya kulevya na ubakaji.Kushoto ni Mstahiki Meya wa Wilaya ya Magharibi A, Unguja, Hamza Khamis Juma. Ziara hiyo imefanyika Visiwani Unguja
 Mjumbe wa kamati ya Siasa Jimbo la Welezo, Ayub Saleh, akizungumza wakati wa ziara ya Katibu wa Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM, NEC, Idara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Mhandisi Hamad Masauni (watatu kulia), ikiwa na lengo la kukagua maeneo sugu yaliyokithiri kwa matendo ya uhalifu ikiwemo utumiaji, uuzaji wa madawa ya kulevya na ubakaji.Wa kwanza kushoto ni Mbunge wa Jimbo la Welezo, Saada Salum Mkuya. Ziara hiyo imefanyika Visiwani Unguja
Mwakilishi Mstaafu wa Baraza la Wawakilishi, Shawana Buheti, akibadilishana mawazo na Katibu wa Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM, NEC, Idara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Mhandisi Hamad Masauni na viongozi wengine akiwemo Mbunge wa Jimbo la Welezo, Sada Salum Mkuya (wa kwanza kulia) wakati wa ziara ya Katibu huyo ikiwa na lengo la kukagua maeneo sugu yaliyokithiri kwa matendo ya uhalifu ikiwemo utumiaji, uuzaji wa madawa ya kulevya na ubakaji, Ziara hiyo imefanyika Visiwani Unguja. Picha na Abubakari Akida.


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.