MKUU wa Mkoa wa Mkoa wa Kusini Pemba, Mwanajuma
Majid Abdalla akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa Habari, uwanja wa
michezo Gombani Pemba, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya Malaria
duniani, (Picha na Haji Nassor, Pemba)
WAANDISHI wa Habari wa vyombo mbali
mbali kisiwani Pemba, wakifuatilia hutuba ya Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba
Mwanajuma Majid Abdalla, akizungumza nao kwenye maadhimisho ya siku ya Malaria
duniani, yaliofanyika uwanja wa Gombani kisiwani Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
MTANGAZAJI wa ZBC redio kisiwani
Pemba, Khadjia Kombo Khamis, akichangia jambo, kwenye mkutano wao, ikiwa ni
maadhimisho ya siku ya Malaria duniani, yaliofanyika uwanja wa Gombani kisiwani
Pemba, ambapo Kitengo cha Malaria kisiwani Pemba, kimeaadhimisha siku hiyo, kwa
kuzungumza na vyombo vya habari, (Picha
na Haji Nassor, Pemba).
WATENDAJI wa kitengo cha Malaria
kisiwani Pemba pamoja na waandishi wa habari, wakilisukuma gari la Kitengo cha
Malaria, kwenye uwanja wa michezo Gombani, mara baada ya kuamalizika maadhimisho ya siku ya malaria
duniani, ambapo kwa Pemba yalifanyika mjini Chakechake, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
No comments:
Post a Comment