Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamd Shein alipokuwa akiteta jambo na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dk.Abdalla Juma Abdalla (Mabodi) katika mkutano wa CCM kwa Wajumbe wa Kamati za Siasa za Mkoa wa Kusini Pemba uliofayika leo katika ukumbi wa Kiwanda cha Makonyo Wilaya ya Chake chake[Picha na Ikulu.] 05 /04/2017.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamd Shein (katikati) akizungumza na akiwa na Wajumbe wa Kamati za Siasa za CCM katika Mkoa wa Kusini Pemba,uliofanyika leo katika ukumbi wa Kiwanda cha Makonyo Wilaya ya Chake chake,(kulia) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dk.Abdalla Juma Abdalla (Mabodi) na Katibu wa CCM MKoa wa Kusini Pemba
Baadhi ya Wajumbe wa Mkutano wa CCM Kamati za Siasa za Mkoa wa Kusini Pemba wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamd Shein,alipokuwa akizungumza katika mkutano uliofanyika leo katika ukumbi wa Kiwanda cha Makonyo Wilaya ya Chake chake
Baadhi ya Wajumbe wa Mkutano wa CCM Kamati za Siasa za Mkoa wa Kusini Pemba wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamd Shein,alipokuwa akizungumza katika mkutano uliofanyika leo katika ukumbi wa Kiwanda cha Makonyo Wilaya ya Chake chake
Baadhi ya Wajumbe wa Mkutano wa Kamati za Siasa za Mkoa wa Kusini Pemba wakimkaribisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamd Shein,katika mkutano uliofanyika leo katika ukumbi wa Kiwanda cha Makonyo Wilaya ya Chake chake,[Picha na Ikulu.] 05/04/.2017.
No comments:
Post a Comment