Mvua za masika zinazonyesha katika maeneo mbalimbali ya Unguja tayari yameshaaza kuleta athari kwa majengo katika sehemu hizi kwa kuchukuliwa mchanga na kufanya mmomonyoko wa ardhi na kuleta madhara kwa majengo hayo kama inavyoonekana moja ya majengo ya Skuli ya Mtoni likiwa katika athari hiyo ya mvua za mazika kwa kuchukuliwa mchanga wa eneo wa mejengo hayo na maji ya mvua. na kuhatarisha ukuta wa moja ya madarasa ya skuli hiyo.
TAASISI YA ELIMU TANZANIA YAENDELEA KUTOA ELIMU KUHUSU MTAALA ULIOBORESHWA
-
Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) yaendelea kutoa elimu kwa wadau
waliojitokeza katika maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba
kuhusu maboresho yali...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment