Mvua za masika zinazonyesha katika maeneo mbalimbali ya Unguja tayari yameshaaza kuleta athari kwa majengo katika sehemu hizi kwa kuchukuliwa mchanga na kufanya mmomonyoko wa ardhi na kuleta madhara kwa majengo hayo kama inavyoonekana moja ya majengo ya Skuli ya Mtoni likiwa katika athari hiyo ya mvua za mazika kwa kuchukuliwa mchanga wa eneo wa mejengo hayo na maji ya mvua. na kuhatarisha ukuta wa moja ya madarasa ya skuli hiyo.
Umoja wa Mataifa na Ubalozi wa Afrika Kusini Wafanya Huduma ya Jamii
Kurasini Kumuenzi Mandela
-
KILA mwaka Julai 18 dunia huadhimisha Siku ya Kimataifa ya Nelson Mandela
kwa kutenga angalau dakika 67 kufanya huduma ya kijamii, kama njia ya
kumuenzi...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment