Mvua za masika zinazonyesha katika maeneo mbalimbali ya Unguja tayari yameshaaza kuleta athari kwa majengo katika sehemu hizi kwa kuchukuliwa mchanga na kufanya mmomonyoko wa ardhi na kuleta madhara kwa majengo hayo kama inavyoonekana moja ya majengo ya Skuli ya Mtoni likiwa katika athari hiyo ya mvua za mazika kwa kuchukuliwa mchanga wa eneo wa mejengo hayo na maji ya mvua. na kuhatarisha ukuta wa moja ya madarasa ya skuli hiyo.
SERIKALI YAENDELEA KUIMARISHA UONGOZI NA USIMAMIZI WA ELIMU KUPITIA MAFUNZO
KWA VIONGOZI WA SHULE
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICUZI TV
SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeendelea
kuimarisha uongozi na usimamizi wa elimu nchini kwa kutoa...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment