Habari za Punde

Masika ilivyoathiri miundombinu Chakechake

 LICHA ya Mvua kuwa zinaendelea Kunyesha Kisiwani Pemba, lakini Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Pemba, inapaswa kuchukua juhudi za makusudi kuifanyia ukarabati barabara ya Machomanne-Vitongoji kuepuka ajali katika maeneo ya Dira kama inavyoonekana katika Picha.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
MMLAKA ya Maji Zanzibar (ZAWA)Tawi la Pemba, linapaswa kuchukuwa hatua za makusudi kunusuru maradhi ya Mripiko yasije kutokea kwa wakaazi wa Mtoni Chake Chake, kufuatia bomba ya maji katika eneo la Mtoni Chake Chake ambalo limekatika na kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.