Habari za Punde

Ajali Daraja la Kazole Wilaya ya Kaskazini A Unguja.

Wananchi wa Kijiji cha Kazole Wilaya ya Kaskazi A Unguja wakiangalia lori la gari ya mchanga ikiwa imeingia daraja hilo wakati likiwa katika kazi zake za kubeba mchanga likitokea katika mashimo ya mchanga Donge Kipange.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.